Thursday, April 4, 2019

Mechi za KPL

Mechi tatu za ligi kuu ya soka nchini-KPL,zimechezwa hivi leo.

Kariobangi Sharks wametoka sare ya bao moja kwa moja dhidi ya zoo kericho kwenye uga wa Nairobi City.

Sofapaka nao pia wametoka sare ya bao moja kwa moja dhidi ya Vihiga United kwenye uga wa Nyao jijini nairobi.

Nzoia sugar wametesa nyasi bure dhidi ya posta rangers na kutoka na sare ya kutokuwa na bao kwenye uga wa Masinde Muliro BUngoma.

Huko AFC Leopards almaarufu Ingwe wakishinda Chemelil Sugar kwa mabao mawili kwa sufuri kwenye uga wa Nyanyo jijini Nairobi.

Wednesday, April 3, 2019

Gor Mahia Watozwa Faini Ya Shilingi 906,000


Gor Mahia watalazimishwa kulipa faini kubwa baada ya kupatikana na hatia kwa kosa iliyowakabili kutokana na mashabiki kuzua vurugu kwa mechi yao dhidi ya AFC Leopards na KCB .
 
Mbele ya kamati huru ya malalamishi na nidhamu, Independent Disciplinary & Complaints Committee (IDCC),Kogalo wametozwa faini ya shilingi za kenya alfu 606,000 kwa vitendo vya ukosefu wa nidhamu kwa mechi yao dhidi ya KCB mnamo tarere 27 mwezi January mwaka 2018 kwa mashtaka ya kwanza.

Gor mahia vilevile imetozwa faini na kamati hiyo huru ya shilingi za Kenya alfu 300 kwa makosa hayo hayo dhidi ya AFC Leopards mnamo tarehe 25 mwezi Agosti mwaka jana.

Timu hiyo imepewa nafasi ya siku sitini kulipa hela izo zote za Kenya alfu 906,000 .


Tuesday, April 2, 2019

Pendekezo La Kupunguza Umri Ya Kufanya Mapenzi Kwa Hiari

Baadhi ya Viongozi katika kaunti ya Kakamega,wamekosoa pendekezo la baadhi ya majaji kua umri wa kufanya mapenzi kwa hiari upunguzwe kutoka miaka 18 ya sasa hadi miaka 16.

Akiongea na wanahabari mjini kakamega,seneta wa kaunti hiyo Cleophas malala amesema kuwa pendekezo hilo kamwe haitasaidia kupunguza visa vya mimba za mapema,miongoni mwa watoto wa kike humu nchini.

Kauli yake iliungwa mkono na mwakilishi wa wanawake katika kaunti ya Kakamega Elsie Muhanda.

Je ni umri gani watu wanapaswa kushiriki kwenye mahusiano ya kingono kwa hiari?

Monday, April 1, 2019

Gor Mahia yazidi kunawiri ligini

Miamba wa soka nchini Gor Mahia wamepanua mwanya wa alama tano kileleni kwa jedwali la ligi kuu ya soka nchini – KPL, kufuatia ushindi wa mabao 2 kwa 1 dhidi ya Nzoia Sugar ugani Moi jijini Kisumu.
 
Hansel Ochieng aliiweka Nzoia Sugar kifua mbele, kabla ya Francis Mustapha kuisawazishia Gor Mahia.
Mabao hayo mawili yalifungwa kabla ya dakika ya kumi huku Geoffrey Ochieng akiifungia Gor Mahia bao la ushindi, dakika za mwisho kabisa za mchezo huo.
Kocha mkuu wa Gor Mahia Hassan Oktay, ameonyesha kufurahishwa na matokeo hayo.
Naye kocha mkuu Nzoia Sugar FC Vincent Situma, ameelezea kufarahishwa na juhudi za wachezaji wake licha ya kupoteza dhidi ya Gor Mahia.
Gor Mahia inaongoza jedwali la KPL kwa alama 41, alama tano mbele ya nambari mbili Sofapaka. Miamba hao watachuana na Sony Sugar ugani Moi jijini Kisumu siku ya Jumatano.


Friday, March 29, 2019

Oktay Amepigwa Marafuku Na Caf

Kocha wa Gor mahia Hassan Oktay amepigwa marufuku ya kutohudhuria mechi yao ya mkondo wa  kwanza dhidi ya RS Berkane ya Morocco mnamo tarehe 7 Aprili.

Oktay alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kuteta kupitia uamuzi wa refa kwenye mechi yao ya mwisho kwenye kundi D dhidi ya Pero Atletico ya Angola ugani  Kasarani wiki mbili zilizopita

Kocha huyo raia wa uturuki mwenye asilia ya Cyprus atakosa mechi hiyo ya robo fainali itakayandaliwa Nairobi huko akijiunga na wachezaji wake nahodha Harun Shakava, Ernest Wendo, Jacques Tuyisenge na Shafik Batambuze kwenye orodha ya waliopigwa marufuku kwenye timu hiyo.

Caf imethibitisha kwamba kocha huyo amepigwa marufuku na hatakubaliwa kukaa kando ya uwanja na pia harusiwa kuingia kwenye chumba cha kubadilisha nguo cha wachazeja wa Kogalo.

Shakava hatacheza mkondo wa kwanza kwa kuwa na kadi mbili za njano kwa mechi mbili tofauti huko Batambuze, Tuyisenge na Wendo wakikosa mkondo zote za robo fainali kwa kuonyeshwa kadi nyekundu.

Gor mahia watachuana na kariobangi sharks kwenye mechi ya KPL ugani Moi stadium Kisumu kuanzia saa tisa.

Thursday, March 28, 2019

Ole Gunnar Solskjaer Apewa Kandarasi Ya Miaka Tatu Manchester United

Timu ya Manchester united imempea kocha Ole Gunnar Solskjaer kandarasi ya kuwa meneja mkuu Old traford kwa miaka tatu zijazo.

Kocha huyo raia wa Norwey amekuwa kaimu wa mancester tangu disemba baada ya Jose Mourinho kufutwa kazi..

Solskjaer ameonyesha huongozi nzuri sana huko akishinda mechi kumi na nne kati ya mechi zote kumi na tisa aliongoza kama kocha wa Manchester na pia kuwafikisha kwenye robo fainali ya kombe la klabu bingwa Eufa.

Kocha  huyo ameiletea wachezaji wa Manchester morale na kuwapa motisha tangu achukue ushukani na kuwapeleka hadi nafasi ya nne kwenye jedwali ya kombe la uingereza-EPL.

Naibu mwenye kiti mkuu wa Manchester Ed Woodward amesema kwamba anaamini kuwa Ole gunnar ndiye mkufunzi nzuri kwa Manchester kwa hivi sasa na kwa siku za usoni.

Aliongeza kuwa tangu Solskjaer kuingia Manchester mwezi disemba ameleta matokeo nzuri na za kufurahisha mashabiki na bodi ya timu nzima,kwa hivyo anjua atapeleka Manchester kushinda taji mbalimbali.

Akizungumza baada ya kupewa kazi ,Ole amesema kwamba amekuwa na ndoto ya kuwa kama meneja wa Manchester kwa muda sasa ,kwa hivyo amejazwa na furaha tle na  ako tayari kuongoza Manchester kushinda mataji.

Tribute to Grandma


A woman of extreme strength, courage and love,
Who was beautiful, soft and now peaceful and free as a dove.
Someone on who our admiration was built around,
For her womanhood, wife, friend and grandmother since she was brought into this ground.

My Darling Grandma, we will forever hold in our hearts in which we have truly learned the most from,
Your strength as a wonderful mother to our mothers and fathers,
And which we hope to gain in raising your great grandsons and great granddaughters.

My darling grandma, we will always respect all you went through in your hardships and distinguished ways,
Your ability to hold yourself with such dignity and pride in all your days,
Your beauty shines in us all who were lucky to be part of your devoted family,
We will carry you in our eyes, minds, and hearts in which we have a remedy,

My Darling Grandma, that is to hold you close by all you have taught us to do,
And to remember the beautiful women we owe our lives to,
For giving us life to blessing us with her strong inner spirit of courage,
Her unconditional love and her sensual laughter,
For being such a person in who will always and have always
held deep in our hearts now and here after.

My Darling Grandma, You are taking a little part of us with you as you follow your angels who will guide you to your
precious place,
May you look down on us with pride on what you brought
into this world with your guidance in which you are now
truly our angel of grace.

My Darling Grandma, as you enter your new heavenly home,
may you rest in peace for which you truly deserve,
For you will be truly missed and remembered for your love and honor in which we will preserve.
We love you always and forever and may God be with you. 

Who are we to complain about God's plans. You lived your life Nya Magunga, showed us the motherly love,you were the pillar in our family. But now it's your time to rest. Go in peace Nyargi Apollo. We shall surely miss you grandma.


We cherish your love, caring and teaching. The values and virtues you inscribed in us shall forever be upheld. You were dearest mum to me from childhood. May your soul rest in peace forever. Amen

Clef Clef is feeling sad with John Johanz and Didah Daniel.
13 hrs
 Losing a Grandmma in the family is a traumatic experience indeed........R.I.P granny
Rest in peace Grandma.. NyaGwasi.
Nyamagunga.
You have fought a good a fight.. N I will tell you all about it when I see you again

Benson Amayo
12 hrs





A woman of extreme strength, courage and love,
Who was beautiful, soft and now peaceful and free as a dove.
Someone on who our admiration was built around,
For her womanhood, wife, friend and grandmother since she was brought into this ground.

My Darling Grandma, we will forever hold in our hearts in which we have truly learned the most from,
Your strength as a wonderful mother to our mothers and fathers,
And which we hope to gain in raising your great grandsons and great granddaughters.

My darling grandma, we will always respect all you went through in your hardships and distinguished ways,
Your ability to hold yourself with such dignity and pride in all your days,
Your beauty shines in us all who were lucky to be part of your devoted family,
We will carry you in our eyes, minds, and hearts in which we have a remedy,

My Darling Grandma, that is to hold you close by all you have taught us to do,
And to remember the beautiful women we owe our lives to,
For giving us life to blessing us with her strong inner spirit of courage,
Her unconditional love and her sensual laughter,
For being such a person in who will always and have always
held deep in our hearts now and here after.

My Darling Grandma, You are taking a little part of us with you as you follow your angels who will guide you to your
precious place,
May you look down on us with pride on what you brought
into this world with your guidance in which you are now
truly our angel of grace.

My Darling Grandma, as you enter your new heavenly home,
may you rest in peace for which you truly deserve,
For you will be truly missed and remembered for your love and honor in which we will preserve.
We love you always and forever and may God be with you.

Source: https://www.familyfriendpoems.com/poem/my-darling-grandma
A woman of extreme strength, courage and love,
Who was beautiful, soft and now peaceful and free as a dove.
Someone on who our admiration was built around,
For her womanhood, wife, friend and grandmother since she was brought into this ground.

My Darling Grandma, we will forever hold in our hearts in which we have truly learned the most from,
Your strength as a wonderful mother to our mothers and fathers,
And which we hope to gain in raising your great grandsons and great granddaughters.

My darling grandma, we will always respect all you went through in your hardships and distinguished ways,
Your ability to hold yourself with such dignity and pride in all your days,
Your beauty shines in us all who were lucky to be part of your devoted family,
We will carry you in our eyes, minds, and hearts in which we have a remedy,

My Darling Grandma, that is to hold you close by all you have taught us to do,
And to remember the beautiful women we owe our lives to,
For giving us life to blessing us with her strong inner spirit of courage,
Her unconditional love and her sensual laughter,
For being such a person in who will always and have always
held deep in our hearts now and here after.

My Darling Grandma, You are taking a little part of us with you as you follow your angels who will guide you to your
precious place,
May you look down on us with pride on what you brought
into this world with your guidance in which you are now
truly our angel of grace.

My Darling Grandma, as you enter your new heavenly home,
may you rest in peace for which you truly deserve,
For you will be truly missed and remembered for your love and honor in which we will preserve.
We love you always and forever and may God be with you.

Source: https://www.familyfriendpoems.com/poem/my-darling-grandma

Tuesday, March 26, 2019

''Unapanga Basi Nyuma Kama Mourinho!''Van Gaal Asema.

Mkufunzi wa zamani wa Manchester United Louis van Gaal amesema hapendezwi na mbinu za kaimu wa manchester united Ole Gunnar Solskjaer.

Van Gaal ambaye alifutwa kazi Manchester na mahali pake kuchukuliwa na Jose Mourinho amesema kwamba Kocha huyo msimamizi raia wa Norwey anacheza mchezo wa kujihami sana nyuma kama alivyofanya Mourinho.

Mourinho alifaamika sana na mbinu yake ya ''kupanga basi nyuma'' na kutumia mashambulizi ya kushtukiza ili kupata ushindi.

Ingawa Manchester walishindwa na Arsenal kwenye mechi ya premier Uingereza mtawaliwa na pia kupoteza dhidi ya wolves kwenye kombe la FA ,Ole Gunnar Solskjaer ameongoza vizuri sana timu hiyo tangu achukue ushukani toka kwa Mourinho mwezi disemba huko akifikisha manchester united kwenye robo fainali za mechi za klabu bora EUFA na kuwapandisha hadi nafasi ya nne bora kwenye jedwali ya ligi kuu Uingereza.

Van Gaal pia amesema kwamba kocha huyo kama vile Mourinho hapatii vijana wadogonafasi ya kucheza kama alivyofanya yeye akiwa kocha manchester mwaka wa 2014 na 2016.


Montenegro Washtakiwa Na Kosa La Ubaguzi Ya Rangi Dhidi Ya Wachezaji Wa Uingereza

Bodi inayosimamia soka Eufa imethibitisha kwamba wameianza kesi inayokabili timu ya kitaifa ya Montenegro dhidi ya ubaguzi wa rangi kwa baadhi ya wachezaji wa uingereza.

Raheem Sterling,Danny Rose na Callum Hudson-Odoi ni baadhi ya wachezaji walionyeshwa madharau ya ubaguzi wa rangi kwenye ushindi yao ya mechi ya kujipea ticketi kwenye kombe ya Euro 2020.

Timu ya Uingereza almaarufa Simba watatu walilaza vijana wa Montenegro kwa mabao tano kwa moja ugani Podgorica.

Meneja wa Uingereza Gareth Southgate alisema baada ya mechi hiyo kuwa watashtaki timu ya Montenegro kwa UEFA.

Kesi dhidi ya Motenegro imethibitishwa zikiwa pamoja na: kuanza baruti,kutupavitu mbalimbali ugani, kuonyesha tabia za ubaguzi wa rangi, mashabiki kuleta usembifu na kuzuia njia ya kutoka kwa uwanja.
UEFA imetangaza kwamba kesi hiyo litaamuliwa mnamo tarehe16 mwezi Mei.

Monday, March 25, 2019

ONE ON ONE WITH YOUR JOURNALIST

Musa Naviye is a radio journalist in his late twenties from the lakeside city of Kisumu.

He is charming and always wear a big smile on his face hence a good person to keep around.

Despite his busy schedule as a journalist and arguably one of the best Voice Over artist of ourtimes, he likes spending time with his family, listening to music, dancing, watching movies and traveling.

In his  own style he defends the rights of the oppressed and he is that kind of journalist who doesn't fall for handouts.

He has  a strong believe that every opportunity and success comes from the belief of God and hardwork.

Musa is currently the Producer, News Editor and a Continuity Presenter at Radio Sahara 94.3 Fm a regional Swahili radio station in Kisumu and also one of The directors of  Durb Radio,an online radio station.

He is also a reporter at radio Africa-radio Jambo and an international media DW Swahili corespondent..

Who is Musa Naviye? (How would you describe yourself?)
I am God fearing a bit rough but somehow kind and humble and i also respect anyone and everyone with no limits of class. 

Do you have a Nickname?
On radio they call me Al-habib which many think is my real name, some mtoto wa mamake Shamimu while others The Grand Master.
 What most  people do not know about you?

I am a graphic artist.Most people have no idea that i can draw ..and i mean very well .
 
Are you a believer?
I am a strong believer and practices Islamic religion.

Are you in a relationship?
I am married to one wife and blessed with two beautiful daughters.

Who is your greatest inspiration?
My two kids [Salmah and Najmah] are my source of inspiration and prophet Moses[Musa in the Holy uran] inspires me because of his boldness... i mean this guy could even ask God questions, who does that..hehehe!

Where do you see yourself in five years?
In Shaa Llah! I see myself working in one of the biggest international media houses as an editor, taking Durb Radio to greater heights and also having a successful business in real estate and hotel industry.

Your favorite animal?
Tiger ,i like the way its calm and still dangerous at the same time.

Do you have a pet?
yeah...everyone needs a pet, I love cats.

What's your favorite Meal?
I take it easy, Ugali Omena or fish and a list of Swahili dishes spiced with coconut toppled up with Ukwaju juice.

Who is your favorite person?
I see where you are going with this,on this I have a long list definitely that would be my two beautiful angels (My daughters) my beloved wife and my mothers.

What would you term as your Wow! moment?
The first time I became a farther, then the time I got a call from Dw Swahili to follow up on former president Hussein Obama's visit to Siaya in 2018... they were all dream come true.

Tell us a bit about your Voice Over career?
This is one gift I will simply describe as GOD sent, I mean everyone can talk but not all of us can be Morgan Freeman, Peter Cullen-(Optimus Prime) or even our very own Johnstone Mwakazi.
I have done a few cooperative voice overs the biggest being an agriculture documentary that won an award in theThompson Reuters Foundation on Food Sustainability Award in Italy https://www.youtube.com/watch?v=pXK6pRvmpgY .














Friday, March 22, 2019

Siku Ya Maji Ulimwenguni

Siku Ya Maji Ulimwengu
Wakenya wameungana na wenzao ulimwenguni kuadhimisha siku ya maji.
Katika kaunti ya kisumu hafla ya maadhimisho hayo yaliandaliwa katika uwanja wa michezo ya Jomo kenyatta  mjini kisumu.


Hafla hiyo imeihudhuriwa na naibu gavana wa kisumu Mathews Ochieng Owili ,meneja mkurugenzi wa KIWASKO Thomas Odongo  Waziri Wa Mazingira Na Maji Salmon Orimba pamoja na viongozi wengine.

Akizungumza kwenye sherehe hiyo,mkurugenzi  wa kiwasco Bwana Thomas Odongo amesema kwamba wanapeana maji kwa familia 25 wasiojiweza. 

Ameongeza kwamba wameanza kampeni itakoyong'oa nanga tarehe 22 mwezi huu hadi tarehe 20 April ambapo watachagua watu 5 kusimamia eneo tano za kusambza maji ya bure maji kisumu. 

Eneo hayo ni pamoja na Kenya -Re Kajulu, Milimani, CBD, Manyatta and Kisumu cha kati. 

Sherehe kama hiyo imeadhinishwa ya kitaifi jijini Kakamega. 

Kauli mbiu ya mwaka huu ni kutoacha mtu nyuma. 

Thursday, March 21, 2019

Siku Ya Misitu Kimataifa


Siku Ya Misitu Kimataifa

Wakazi wa kisumu wameungana na ulimwengu leo hii kuidhimisha siku ya misitu. 

Sherehe hiyo iliandaliwa kwenye mlima wa kajulu iliyoko kisumu. Viongozi hao walianza na kupanda miti kabla ya kuhotubiawakaziwa eneo hilo. 

Akizungumza kwenye sherehe hiyo Waziri wa maji, mazingira na mali asilimia kaunti ya Kisumu Salmon Orimba amesema kwamba serikali ya kaunti ya Kisumu imeekeza milioni 20 katika zoezi la kuimarisha mazingira ikiwemo upanzi wa miti ili kuhakikisha wanaongeza sehemu ya miti kutoka asilimia 0.4 hadi asilimia 10 kufikia mwaka 2022. 

Kaunti ya kisumu inashikilia nafasi ya 46 huko ikishinda Kaunti ya Siaya pekee yake. 

Sherehe kama hiyo iliandaliwa Siaya kaunti ambao wanashika mkia kwa upanzi wa miti. 

Tuesday, March 19, 2019

Kongamano La Kimataifa Kisumu

Governor wa Kisumu Profesa Peter Anyang' Nyong'o  amefungua rasmi kongamano la kimataifa kuhusu makazi ya kutosha na gharama ya chini.

kongomano hilo ambayo imepangwa na shirika la Grassroot Trust ikiungana na kaunti ya Kisumu imeng'oa nanga hivi leo hadi siku ya Alhamisi ambapo inatarajiwa kufungwa rasmi na Mheshimiwa Raila Odinga.

Akizungumza kwenye kongamano hilo Nyong'o amesema kuwa wanaendeleza mipango za kuimarisha makazi jijini kisumu wakiungana na mashirika zisizo za serikali ili kuhakikisha kwamba wakazi wa kisumu wanaishi kwa nyumba zenye gharama za chini,zenye usalama na maji,na vituo vya afya.

Wageni wengi kutoka ugaibunu pamoja na wakazi wa kisumu wamehudhuria kongomano hilo inayofanyika kwenye hoteli ya kifahari ya Grand Royal Swiss iliyoko eneo ya Riat jijini Kisumu .
 
Lawrence Apiyo ambaye ni mshirikishi wa shirika la Grassroot trust akizungumza amesema kwamba wanafanya juhudi kama shirika kuhakikisha wakazi wa kisumu wanaishi kwa nyumba nzuri.

Friday, March 15, 2019

Chelsea Na Arsenal Kwenye Robo Fainali

Timu ya Chelsea iliadhibu Dynamo Kyiv kwa mabao tano kwa sufuri ugenini Olympic stadium.
 
Chelsea walionyesha mchezo nzuri kwenye mechi hiyo huko Mchezaji raia wa Ufaransa Oliver Giroud akicheka na wavu mara tatu na kuongeza idadi ya mabao zake msimu huu kwenye Eufa Europa league hadi tisa.
 
Marcos Alonso na Column Hudson Odoi pia walijiandikisha kwenye kitabu cha wafunga bao na kusaidia chelsea kufika  kwenye robo fainali ya kombe hilo wakiwa na mabao nane kutokana na ushindi wao ya mabao tatu kwenye mkondo wa kwanza stamford bridge. 
 
Vilevile,Timu ya Arsenal walishinda Rennes ugani emirates kwa mabao tatu kwa sufurina kujipa tiketi kwenye robo fainali ya kombe hilo.

Mchezaji raia wa Gabon Pierre-Emerick Aubameyang alifunga mabao mawili ya kwanza na ya mwisho huko Ainsley Maitland-Niles akifunga bao moja na kusaidia arsenali kulipiza kisasi baada ya kupoteza ugenini kwa mabao tatu kwa moja hivyo basi kushinda Rennes kwa idadi ya mabao.

Matokeo ya mechi zingine za  Europa zilizochezwa usiku wa Alhamisi ni pamoja na
 
Krasnodar walitoka sare ya moja kwa moja dhidi ya valencia.
Salzburg walipiga napoli kwa mabao 3 kwa moja.
Benfika wakapiga Dinamo Zagreb kwa mabao tatu kwa sufuri.
Internazionale ilipigwa na Eintracht Frankfurt nyumbani kwao kwa bao moja kwa sufuri.
Slavia Praha wakashinda Sevilla kwa mabao manne kwa tatu.
Villareal walishinda Zenit kwa mabao mawili kwa sufuri.

Thursday, March 14, 2019

Kogalo waadhibu Homeboyz

Timu ya Gor Mahia almaarufu Kogalo, imeshinda vijana wa Kakamega homeboyz kwa mabao mawili kwa moja kwenye mechi ya kung'ang'ania taji la kombe la klabu bingwa nchini KPL.

Mechi hiyo imechezwa ugani Machakos kuanzia saa kumi alasiri.

Vijana wa Homeboyz ndiyo waliotangulia kufunga kupitia mchezaji wao Luke Namanda mnamo dakika 51.

Kogalo walilipiza mnamo dakika ya 67 kupitia mguu yake Francis Mustafa kabla ya kuongeza ya pili na ya ushindi dakika mbili baadaye kupitia Boniface Owino Omondi.

Kumbuka Kogalo walifanya mabadiliko ya watu kumi kwenye squadi yao ili kujiandaa kwa mechi dhidi ya klabu ya petro jumapili.

Gor mahia wanahitaji ushindi wowote ili kufika kwenye robo fainali ya kombe la CAF confedaration.

Ukatili







Ukatili sio tu msamiati wa lugha ya Kiswahili, bali hutumiwa kuashiria maovu ambayo yanazidi kuongezeka katika jamii kila siku. 


Ukatili ni hali ya kutokuwa na huruma. Ukatili wa kijinsia ni kitendo anachofanyiwa mtu yeyote mwanamke au mwanamme kwa lengo la kumdhuru au kumuumiza kisaikolojia, kimwili, kiafya, kingono na kiuchumi.

Tafiti nyingi zinaonyesha kwamba wanawake ndio wahanga wakubwa wa ukatili wa jinsia.

Visa vya ukatili vimeongezeka humu nchini katika siku za hivi karibuni, kutokana na kuongezeka kwa ripoti za mume kumuua mkewe, mke kumuua mumewe au watoto kuuawa na baba au mama na hata watoto kunajisiwa.

 
Ukatili husababishwa na mambo mengi, ikiwemo kutoelewana, hasira, chuki, matatizo ya kifedha, kupoteza kazi, kutaka kuonekana kudhibiti familia, na matumizi ya pombe na mihadarati.


Kwa mujibu wa Bibilia kwenye kitabu cha Methali 15 moja, jawabu la upole hugeuza hasira; Bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.

Tuesday, March 12, 2019


Timu ya Real Madrid wanammezea mate mchezaji wa Chelsea Mbelgiji Eden Hazard.

Hii ni baada ya Real madrid kumteua aliyekuwa kocha wa kitambo Zinedin Zidan kurudi kama kocha mkuu na kuchukua mahali pake Santiago Solari.

Zidan ambaye ni sinamu wa Hazard kwa mpira amerudi klabu ya real madrid baada ya kutoka mwaka jana.

Real madrid wamesema wako tayari kutoa dollar millioni mia moja ili kununua bingwa huyo wa chelsea.

Hazard alisema  kucheza madrid imekuwa kwa ndoto zake kwa muda sasa na angependa sana kucheza chini ya mkufunzi Zidan.

Madrid pia wanataka Neymar juniour na Kylian Mbappe wote kutoka PSG.

Monday, March 11, 2019

Bora Nyumba! ama Nyumba Bora?

Nyumba na makazi bora ni mojawapo kati ya agenda nne kuu za rais Uhuru Kenyatta...


Lakini wakenye wengi bado wanaishi kwenye nyumba duni zenye mazigira chafu,kukosa maji,kutokuwa na hospitali,ukosefu wa usalama na mashida zinginezo.
Nilipotembea mtaani Bandani iliyoko jijini Kisumu tulisuhudia baadhi ya nyumba ambazo hali zao si nzuri kwa afya ya binadamu yeyote yule.Baadhi ya nyumba hizo hazina hata vyoo kwa hivyo  wanaoishi huko wanahatarisha maisha yao kwa kulipa pesa kiasi.
Nilipozungumza na kikundi cha project comitee management{pmc}ambao wanafanya juhudi na mradi ya ujenzi wa nyumba za matofali ili angalua kuinua hali ya maisha ya wanaoishi Bandani wamesema chama yao inalenga kuhakikisha  kwamba wakazi wa Bandani wanaishi kwa nyumba bora  kwa siku za usoni.
 
Mwenyekiti wa PMC Bwana Abubakar Hasan Makengeza amesema kuwa serikali ya kaunti ya kisumu imewapa machine ya kutengeneza matofali kwa hivyo wao hutengeneza takriban matofali alfu moja kwa siku.
Ameongeza kwamba wako na kamati ya watu sita ambao wanongeza kikundi cha kuhakikisha kwamba wakazi wa bandani wataishi kwa nyumba nzuri.



Wednesday, March 6, 2019

Miujiza Ya Manchester!!!

Timu ya Manchester United walionyesha mchezo mzuri usiku wa jumatano na kuishinda timu ya PSG kwa kile watu wengi wanaita kama miujiza.

Kumbuka Man United walienda kwenye hiyo mechi wakiwa nyuma  kwa mabao mawili kutokana na kushindwa nyumbani na PSG kwa mkondo wa kwanza kwenye kombe la EUFA wiki mbili zilizopita.

Vijana wa PSG waliitaji sare lolote ili kujipa tiketi kwenye robo fainali lakini vijana wa Manchester chini ya kocha msimamizi Ole Gunnar Solskjaer walikuwa na mipango nyingine.

Mbelgiji Romelu Lukaku ndiye aliyetangulia kufunga bao la kwanza dakika mbili tu za mchezo lakini wanaPSG wakasawazisha dakika kumi baadaye na kuvunja moyo ya Manchester.

Ganga ganga za Lukaku iliwapa Manchester matumaini alipofunga bao la pili mnamo dakika ya 30 kabla ya Marcos Rashford kufunga kupitia tuta la penalti dakika za mwisho na kubandua psg kutoka kwenye mashindano hayo.

Penalti hiyo ya manchester imeleta hisia mbalimbali baina ya makocha na wachezaji mbalimbali;Neymar Jr ambaye hakuchezea PSG jana usiku kutokana na majeraha alikasirishwa sana na huo uamuzi na kusema kwamba penalti haikufaa.

Neymar ameandika kwenye twitter ya kwamba waamuzi wa mechi hiyo  hawakujua walichukuwa wakifanya na hakuelewa walichokiona kwenye VAR .

 Hayo yote tisa,kumi ni aty Manchester wako kwenye robo fainali.


What is love?

Love is the feeling of affection and care towards something or someone.Everyone need love in their life.
There are different types of love that most of us experience.
  
Agapel love is the love of God for man and of man for God.
Its believed to be a brotherly love that embraces a universal,unconditional love that transcends and persists regardless of circumstance.
This kind of love is supported from Bible verses where God gave his only son.
''For God so loved the world,that He gave his only begotten son,that whosoever believeth in him should not perish,but have everlasting life.''
John 3:16

Jesus Christ also depicted this love in his entire mission,''You have heard that it was said,'you shall love your neighbor and hate your enemies,'But i say to you,Love your enemies and pray for those who persecute you,so that you may be the sons of your father who is in heaven;for he makes his sun rise on the evil and on the good,and sends rain on the just and unjust.For if you love those who love you,what reward have you?
Mathew 5:43-46

Parental love is the type of love our parents and guardian offer us by the fact that they are our parents.It usually comes natural when you have given birth to a baby.
Parents try everything to make sure that their children gets the best life can offer.
This type of love is not only limited to your only biological child but also any kid out there that may need that parental care.
Some children,for example,the street kids have no one to look after them therefore someone can decide to put a smile on  their face by adopting one of them thus getting the parental love.

Friendship Love is the kind of affection felt among friends.A friend is anyone you go to when you are in need that one person who understands you better than most people.Friends care about each other,they protect one another and always want the best for each other.This kind of love involves mutual benefit among partners or group.

Romantic Love is the kind of love mostly experienced by by adults,it involves intimacy and can even lead to marriage.Romantic love is characterized by open communication,honesty,trust,sex and privacy.It usually happens between two people of opposite gender but at times there are cases of same sex romance and may involve many people.

Having considered the above types of love its therefore goes without saying that no one can leave without love in their life.Love is not all about romance it goes deeper than that.
When you are in love ,you don't do something to someone because they did it to your because they want you to do it to them,you do something good to those you love because you want to do it for them

Friday, March 1, 2019

Love tale❣


If love was a story l would buy you a thousand books📕📕
If love was a meal🥞🍗I would hire you a thousand cooks👩‍🍳
Though love would come with its fears 😣
Be sure l will be the one to wipe your tears😇
If our love is immature 😶
Let us cherish our friendship moments👫till it matures
If you are afraid that am gonna play 🥅 you dear
Be fearless cause  such thoughts to my mind are mere🙅‍♂
I am not gonna play but translate our love to a play 🥰😘
And narrate to the world day by day🗓
For you hold a special place in my heart ♥
And to all who object may hurt😡😡
I would hold your hand🤞🤝
Like a magic wand🎉
In a fairy tale🎇
That we would live to tell💏💏

Street life✴

All I own is a place along the street.
I have no one for a tweet😥.
Full dustbins🚮be my treat.
The nights ☪ long and cold.
But l have to face it bold😓.
The family l have is God and l.
But trust me there is more than meets your eye👀.
The struggles I face to get my daily bread.
Which to you are a dread😧
The clothes I wear old and torn.
Got no time to wash cause no other to be worn😏
When ill 🤢no remedy
No idea suffering from what malady🤮
Difficult is the street life😭😭

Domestic violence

Has he ever trapped you in a room and not let you out?
Has he ever raised a fist as if he were going to hit you?
Has he ever thrown an object that hit you or nearly did?
Has he ever held you down or grabbed you to restrain you?
Has he ever shoved, poked, or grabbed you?
Has he ever threatened to hurt you?
If the answer to any of these questions is yes, then we can stop wondering whether he’ll ever be violent; he already has been.

Domestic violence is the abuse by one person against another in a marriage or cohabitation.Most people assume that only women suffer from this kind of violence but the truth is that even some men are abused by their partners.

This violence is very common among couples and some people may think that its normal to tolerate their abusive partners in the name of love.Well i beg to disagree!

No matter how much you feel about someone,how much you care about them or even how much they make you vulnerable,you shouldn't endure any pain whether its physical,emotional or even psychological in your relationship.

If someone claims that they love and care about you,they should be ready to accommodate all your flaws and talk through any challenges that may come up as you stay together.

Domestic violence can happen in heterosexual or same sex relationships or between former spouses or partners.It can also involve  violence against children,parents,or the elderly.

It takes a number of forms,including physical,verbal,emotional,economic,religious,reproductive and sexual abuse.

In recent news,rape,abuse and violation of women rights have become rampant and the worse part is that some of the victims of this abuse do not  get justice.

The constitution of Kenya condemn against domestic violence and provide protection against such act as mentioned in Act No 2 of 2015 in the laws of  Kenya.

Therefore anyone should report any form of abuse to the authorities before it gets out of hand.Cases of couples killing their partners are not news today therefore 'get out 'before you are carried in casket.
An abuser can seem emotionally needy. You can get caught in a trap of catering to him /her, trying to fill a bottomless pit. But he/she’s not so much needy as entitled, so no matter how much you give him/her, it will never be enough. He/she will just keep coming up with more demands because he /she believes his/her needs are your responsibility, until you feel drained down to nothing.






Thursday, February 28, 2019

Lovers Plee

💔I messed up
To be sincere this feeling makes me all screwed up♨
A 1⃣ single chance is all I need
For my mistakes to me are a  dread🤢
Thoughts about us 'no more'🚫 makes me weary😞
About you is all I worry🙇
I am neither nor promising to be perfect😣
Cause I may be a life critic🙄
But just to make things clear  you own my heart🥰
Without you l hurt😰
I admit I was stupid😤
But we could still play Cupid👫
Your love is like a pill💊
Without which am ill🤮
Winning back your heart will be a challenge😢
But trust me to your heart I will hinge onto🎣
And our love❣ will unravel
To the world it would marvel🔛🔝🔜
Would you fix my broken heart💔
By tightening our nuts💝
I dearly love you with the whole of my heart💓💓
Am really sorry sweet heart🙏
Just one more chance💟🛐

Tuesday, February 26, 2019

ACTS OF LOVE

Love is not a word
Or a thought.
It is the name for
An action
That breathes from its light.
What do you
DO
In Love's name?
And is it only done
Outside
In the light?
Or with an inner
Flame
Illuminating
Love's
TRUE
Name?
I want to know.
Are your actions
Done by remote
Or with
SOUL?
And when you say
You love someone,
Does a light go off
Inside at all?
What have
YOU
Done
In the
Name of
LOVE?
Because,
Really,
I want to know.”

Secondary drowning

Many people think that deaths by drowning only happen when someone literally suffocate in the pool ,lake,river,ocean or such water bodies.But have you heard of cases where people die days later after being rescued from drowning?
 Secondary drowning can happen when someone is exposed to water-even a small volume- and it gets in their lungs.This kind of deaths are rare but they mostly happen among children after swimming or even bathing.The symptoms are usually noticed after 24 hours and may include constant coughing,difficulty in breathing or speaking,irritability or unusual behavior,chest pain,low energy or sleepiness after being in the water.
Unlike normal drowning,secondary drowning can take up to three days after the water first got into the lungs.
secondary drowning,can delay up to 24 hours before the person shows signs of distress.It can cause trouble breathing and ,in worst case scenarios,death.
Therefore its advisable to rush your child to the nearest hospital for check up after they have been rescued from drowning just to be sure that the water did not get into the lungs.
If the water gets into the lungs ,it can irritate the lung's lining and fluid can build up,causing a condition called pulmonary edema which can eventually cause death.
Parents and guardians out there are therefore alerted to pay close attention to their kids when swimming or taking bath in order to prevent such deaths in case a child is rescued from drowning.

FRIENDSHIP

 Friendship is like a morning rose🌹
Fresh ,scenty and pleasing to the nose💫
I cherish friends who are like the moon 🌝
Even when busy , for you they create room💆🏽‍♂
Just as the moon they teach phases of life🌚
Hardening you as you struggle and strife😰
I adore friends who are like the sun☀
They are ever on the run🏃🏻
Rising each morning🌤
No matter how many night mourning🥺
Friendship ain't backstabbing🍴
It is rather forward minding🤝
Correcting each other when going wrong👌
Congratulating each other when achieving thrones👏
Friendship is founded by love respect and loyalty
By which will create a family👨‍👨‍👧‍👧
Friendship is love❣❣

A drug victim's plea🤕😪

 I considered it passion🤞♥
But now it like commission😒
Taking it as a commitment😏
As without it comes torrents of torments😱😱
I wish I wouldn't have started taking it😞
For it now what I daily eat😧
I swear this is money consuming🤬
And health diminishing🤮🤮
My pretty nature before 🧑🏻👩🏻
Is now a memory so far😭😭
Suffering from various maladies🙁😨
With no effective remedies👹
This monster called a drug💀💀🚬
Into my life it has deeply dug⛏🕳
For no more hope left other than the grave⚰
After struggling insanity thrive🥴
Take it not🚬🙅🙅‍♂
Dream it not❌
Challenge it✔
For this is a drug victim's plea🙏🙏✍

Nature is my best friend🤞

Nature is my best friend🤞

Nature is my best friend🤞
Cause with it I have nothing to mend🌚
Each morning am awake😌😌
Am glad to see the earth's orange cake☀
Spreading out its rays with glee🌞
You don't have to be on your knee🛐
To get its warmness🌤
It gives a reason for gladness😊😊
That no matter how dark is the night🌑
Mornings will ever be bright☀☀
The dew on the ground❄
Bring a meaning in the heart to be wound💝
Things may happen in your life😏
Which may cut across like a sharp knife🤺
But when you allow light to shine on you💫
All these obstacles will forsake you and you become new✨
The nine o'clock sun Will give you strength💪
As it makes our bones active and prevents us from stench🤧
This comes when the day is still young😇
To mean we got all it takes when still young🧖‍♂
Don't waste your youthful life not a tone🤒
For there is no life rehearsal none🙅🙅
The sun becomes scorching hot at noon🔥🔥
You may think the world is ending soon🤯
At a point in life things may seem high😯
But don't give up give a sigh😉
Move on🤙
Press on👊
Light begins fading🙇‍♀
As darkness starts shading🤥
Night approaches and either the moon🌛 comes out or not🌚
This is an indication of variation of life knots📊
Do your best while present🗓
So that while you are away people face nostalgic moments🤢🤢
Nature preaches🌊
Nature teaches🌺
Nature is a life bleach🌻🎍🎍🎍

RAW LAW⁉⁉


 RAW LAW⁉⁉
 If laws could speak for themselves🗣
They could complain of lawyers 👨🏼‍⚖in the first place
Law practice has become the complete opposite of sex🙀
When it is good it has to come through deluxe🤬
With corruption Manning the world😖
Without money you are untold🤢
Criminals know their rights🕵
By which they claim to fight📚
All systems hacked🎛
Honest ones expensively backed📲
We no longer know what is wrong or right🤐
For a say is contained in the might💪
It is said that a good lawyer knows how the law to punch👊
While the clever one takes the judge for lunch🍝
And being clever🤒
Is all we endeavour🤖
So is gonna be raw🤯
Or are we handling law📖🔖

Emotions of the Game!

Football just like other sports brings a tidal of emotions and feelings when it happens.Its never a surprising scene to see a kid breakdown ...