Wednesday, April 3, 2019
Gor Mahia Watozwa Faini Ya Shilingi 906,000
Gor Mahia watalazimishwa kulipa faini kubwa baada ya kupatikana na hatia kwa kosa iliyowakabili kutokana na mashabiki kuzua vurugu kwa mechi yao dhidi ya AFC Leopards na KCB .
Mbele ya kamati huru ya malalamishi na nidhamu, Independent Disciplinary & Complaints Committee (IDCC),Kogalo wametozwa faini ya shilingi za kenya alfu 606,000 kwa vitendo vya ukosefu wa nidhamu kwa mechi yao dhidi ya KCB mnamo tarere 27 mwezi January mwaka 2018 kwa mashtaka ya kwanza.
Gor mahia vilevile imetozwa faini na kamati hiyo huru ya shilingi za Kenya alfu 300 kwa makosa hayo hayo dhidi ya AFC Leopards mnamo tarehe 25 mwezi Agosti mwaka jana.
Timu hiyo imepewa nafasi ya siku sitini kulipa hela izo zote za Kenya alfu 906,000 .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Emotions of the Game!
Football just like other sports brings a tidal of emotions and feelings when it happens.Its never a surprising scene to see a kid breakdown ...

-
Nyumba na makazi bora ni mojawapo kati ya agenda nne kuu za rais Uhuru Kenyatta... Lakini wakenye wengi bado wanaishi kwenye nyumba du...
-
Timu ya Manchester United walionyesha mchezo mzuri usiku wa jumatano na kuishinda timu ya PSG kwa kile watu wengi wanaita kama miujiza. ...
No comments:
Post a Comment