Baadhi ya Viongozi katika kaunti ya Kakamega,wamekosoa pendekezo la baadhi ya majaji kua umri wa kufanya mapenzi kwa hiari upunguzwe kutoka miaka 18 ya sasa hadi miaka 16.
Akiongea na wanahabari mjini kakamega,seneta wa kaunti hiyo Cleophas malala amesema kuwa pendekezo hilo kamwe haitasaidia kupunguza visa vya mimba za mapema,miongoni mwa watoto wa kike humu nchini.
Kauli yake iliungwa mkono na mwakilishi wa wanawake katika kaunti ya Kakamega Elsie Muhanda.
Je ni umri gani watu wanapaswa kushiriki kwenye mahusiano ya kingono kwa hiari?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Emotions of the Game!
Football just like other sports brings a tidal of emotions and feelings when it happens.Its never a surprising scene to see a kid breakdown ...

-
Nyumba na makazi bora ni mojawapo kati ya agenda nne kuu za rais Uhuru Kenyatta... Lakini wakenye wengi bado wanaishi kwenye nyumba du...
-
Timu ya Manchester United walionyesha mchezo mzuri usiku wa jumatano na kuishinda timu ya PSG kwa kile watu wengi wanaita kama miujiza. ...
Mimi kwangu naomelea 18 ni sawa ibaki tu hivyo kwa kuwa ndio kiwango cha wastani
ReplyDelete