Wakenya wameungana na wenzao ulimwenguni kuadhimisha siku ya maji.
Katika kaunti ya kisumu hafla ya maadhimisho hayo yaliandaliwa katika uwanja wa michezo ya Jomo kenyatta mjini kisumu.
Akizungumza kwenye sherehe hiyo,mkurugenzi wa kiwasco Bwana Thomas Odongo amesema kwamba wanapeana maji kwa familia 25 wasiojiweza.
Ameongeza kwamba wameanza kampeni itakoyong'oa nanga tarehe 22 mwezi huu hadi tarehe 20 April ambapo watachagua watu 5 kusimamia eneo tano za kusambza maji ya bure maji kisumu.
Eneo hayo ni pamoja na Kenya -Re Kajulu, Milimani, CBD, Manyatta and Kisumu cha kati.
Sherehe kama hiyo imeadhinishwa ya kitaifi jijini Kakamega.
Kauli mbiu ya mwaka huu ni kutoacha mtu nyuma.
No comments:
Post a Comment